Haya Lyrics
von Khadja Nin
Haya mpaka ulaya
Haya mpaka aziya
Ata kule amerika
Unalala mutoto njiyani
Unalala mutoto inje
Ni haya
Usi ulize jina yake vile
Ju yeye, tu yeye ule
Hana jina,
Yake amejiita haya
Mutoto wa haya
Wuko inje hauliye
Ulisha kuzoweleya
Ule umasikini
Ulitafuta msaidia
Ukamukosa
Unapashwa kuiba
Ju upate cakula
Mtoto wa haya
Haya anahangayika
Haya ni malaika
Haya kwa iyi duniya...
Kweli
Ina aca mutoto njiyani
Ina aca mutoto inje
Ni haya
Usi ulize jina yake vile
Ju yeye, tu yeye ule
Hana jina,
Yake amejiita haya
Mi siweze kusahabu
Maco yake
Ananihangaliya
We haya wangu
Mi nitakosa majibu
Siku uta ni uliza
Ju ya nini ni vile ?
Ju ya nini wewe ?
Haya mpaka aziya
Ata kule amerika
Unalala mutoto njiyani
Unalala mutoto inje
Ni haya
Usi ulize jina yake vile
Ju yeye, tu yeye ule
Hana jina,
Yake amejiita haya
Mutoto wa haya
Wuko inje hauliye
Ulisha kuzoweleya
Ule umasikini
Ulitafuta msaidia
Ukamukosa
Unapashwa kuiba
Ju upate cakula
Mtoto wa haya
Haya anahangayika
Haya ni malaika
Haya kwa iyi duniya...
Kweli
Ina aca mutoto njiyani
Ina aca mutoto inje
Ni haya
Usi ulize jina yake vile
Ju yeye, tu yeye ule
Hana jina,
Yake amejiita haya
Mi siweze kusahabu
Maco yake
Ananihangaliya
We haya wangu
Mi nitakosa majibu
Siku uta ni uliza
Ju ya nini ni vile ?
Ju ya nini wewe ?
Writer(s): Khadja Nin, Nicolas Fiszman
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Was als nächstes?
Dein Karma steigt mit jedem Klick! Teile den Guru-Link und bring Lyrics in die Welt.
-
Beliebte Khadja Nin Lyrics
Link kopiert!
Khadja Nin - Haya
Quelle: Youtube
0:00
0:00