Number Moja Lyrics

von Kidum
Lyrics
Namba moja yesu eh...
Asante bwana oh,
Namba moja... uuhh

Nafasi yote moyoni
Nimeshaipa kwa yesu
Ni namba moja, moja moja moja

Nafasi yote moyoni
Nimeshaipa kwa yesu
Ni namba moja moja moja moja

Nimeshatembea nimeshazunguka
Kila pahali nikifika kila kona
Nimejaribu kutafuta
Kinachoweza kuridhisha moyo wangu
Nikatangatanga mashariki na kusini
Ili mradi nitafute
Nikamanga manga magharibi kaskazini
Kupata kile ninachotaka... wimbo

Nafasi yote moyoni
Nimeshaipa kwa yesu
Ni namba moja moja moja moja

Nafasi yote moyoni
Nimeshaipa kwa yesu
Ni namba moja moja moja moja

Juhudi zangu zote zilipogonga mwamba
Nikafa moyo nikakataa tamaa
Ndiyo bwana akataka nigusa
Nikasimama nikaanza kutembea
Asante Bwana Mwokozi wangu
Nimetambua kama nimekupata
Pewa wimbo pewa sifa
Asante Yesu

Nimeshatembea nimeshazunguka
Kila pahali nikifika kila kona
Nimetambua nimekupata
Bwana Yesu Mwokozi wangu

Nafasi yote moyoni
Nimeshaipa kwa yesu
Ni namba moja moja moja moja...(Repeat)
Writer(s): Jean-pierre Nimbona, Philip Kioko
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Was als nächstes?

Dein Karma steigt mit jedem Klick! Teile den Guru-Link und bring Lyrics in die Welt.

Kidum - Number Moja
Quelle: Youtube
0:00
0:00