Soul Makossa - Final Lyrics
von Manu Dibango
Uuuuuuu wowowoooo
Yeah yeah yeah yeah yeah
Manuuuu, Vuvuzela production
Yeah ooooooooooooh yeah
Unanipenda na wala Baba hautanitenda
Nikifanya tu vile unavyopenda Baba baba
Kama nilisafiri mi kutoka mbali,
Sikujua kama nitafika,
Japo majaribu yalizidi kila hali,
Nikazidi kusita,
Niwewe niwewe hakuna mwingine kama wewe
Niwewe niwewe hakuna mwingine kama wewe,
Mi sikupi pesa ndo unipe uhai,
Noooooooooo
Ata kama mbele yako mi najiona sifai,
Nina, kila sababu ya kusema baba,
Nina, kila sababu ya kusema Baba
Unanipenda, na wala Baba hautanitenda,
Nikafanya tu vile unavyopenda,
Babaaa babaaaaa,
Nikitembea kila mahali nisipokuwa na wewe, Mi nahisi sina raha,
Ulivyo mi nipenda ukafanya nijielewe,
Kwamba wewe wanifaa, huniwazii mabaya waniwazia mema, ata usiku nikilala, kila mara nitatii kile unachosema, Nisikuudhi weBaba
Nikitembea kila mahali nisipokuwa na wewe, mi nahisi sina raha, Ulivyo mi nipenda ukafanya nijielewe kwamba wewe wanifaa, Huniwazii mabaya waniwazia mema, Ata usiku nikilala
Kila mara nitatii kile unachosema nisikuudhi we Baba,
Unanipenda, na wala Baba hautanitenda,
Nikifanya tu vile unavyokapenda, Baba baba
Unanipenda, Na wala hautanitenda,
Nikifanya tu vile unavyopenda,, Baba babaBaba ×2
Baba pendo lako ni la ajaabu sana,
Baba, pokea zangu shukrani
Baba, pendo lako ni la ajabu sana baba, pokea zangu shukrani
Unanipenda, na wala baba hautanitenda,
Nikifanya tu vile unavyopenda, Baba baba
Unanipenda, na wala baba hautanitenda nikifanya tu vile unavyopenda, Baba Babaa
I wanna empress your love, everyday and night, Everything i need you have,, my life is alright
Iwanna empress my love everyday and night, everything i need u have, my life is so alright...
Woooooooooooooooooooo
Yeaaaaaaaaaaaaaaaah
Yeah yeah yeah yeah yeah
Manuuuu, Vuvuzela production
Yeah ooooooooooooh yeah
Unanipenda na wala Baba hautanitenda
Nikifanya tu vile unavyopenda Baba baba
Kama nilisafiri mi kutoka mbali,
Sikujua kama nitafika,
Japo majaribu yalizidi kila hali,
Nikazidi kusita,
Niwewe niwewe hakuna mwingine kama wewe
Niwewe niwewe hakuna mwingine kama wewe,
Mi sikupi pesa ndo unipe uhai,
Noooooooooo
Ata kama mbele yako mi najiona sifai,
Nina, kila sababu ya kusema baba,
Nina, kila sababu ya kusema Baba
Unanipenda, na wala Baba hautanitenda,
Nikafanya tu vile unavyopenda,
Babaaa babaaaaa,
Nikitembea kila mahali nisipokuwa na wewe, Mi nahisi sina raha,
Ulivyo mi nipenda ukafanya nijielewe,
Kwamba wewe wanifaa, huniwazii mabaya waniwazia mema, ata usiku nikilala, kila mara nitatii kile unachosema, Nisikuudhi weBaba
Nikitembea kila mahali nisipokuwa na wewe, mi nahisi sina raha, Ulivyo mi nipenda ukafanya nijielewe kwamba wewe wanifaa, Huniwazii mabaya waniwazia mema, Ata usiku nikilala
Kila mara nitatii kile unachosema nisikuudhi we Baba,
Unanipenda, na wala Baba hautanitenda,
Nikifanya tu vile unavyokapenda, Baba baba
Unanipenda, Na wala hautanitenda,
Nikifanya tu vile unavyopenda,, Baba babaBaba ×2
Baba pendo lako ni la ajaabu sana,
Baba, pokea zangu shukrani
Baba, pendo lako ni la ajabu sana baba, pokea zangu shukrani
Unanipenda, na wala baba hautanitenda,
Nikifanya tu vile unavyopenda, Baba baba
Unanipenda, na wala baba hautanitenda nikifanya tu vile unavyopenda, Baba Babaa
I wanna empress your love, everyday and night, Everything i need you have,, my life is alright
Iwanna empress my love everyday and night, everything i need u have, my life is so alright...
Woooooooooooooooooooo
Yeaaaaaaaaaaaaaaaah
Writer(s): Manu Dibango
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Was als nächstes?
Dein Karma steigt mit jedem Klick! Teile den Guru-Link und bring Lyrics in die Welt.
-
Beliebte Manu Dibango Lyrics
Link kopiert!
Manu Dibango - Soul Makossa - Final
Quelle: Youtube
0:00
0:00