Ni Juu Yako Lyrics

von Frank
Lyrics
Umenilinda na kunihifadhi
Fadhili zako za milele
Ni ju yako Bwana mi naishi
Umenilinda kwa mishale ya kifo
Fadhili zako za milele
Ni ju yako Bwana mi naishi
Umenilinda kwa mikosi yoyote
Fadhili zako za milele
Ni ju yako Bwana mi naishi
Pokea sifa zote na utukufu

Heshima na uweza ni zako Bwana
Haulinganishwi na chochote
Fadhili zako za milele
Ni ju yako Bwana mi naishi
Gongo lako na fimbo yako
Yanifariji mimi
Ni ju yako Bwana mi naishi
Waandaa meza mbele ya watesi wangu
Ni ju yako Bwana mi naishi
Nipitapo kwenye uvuli wa kifo
Wewe huniachi baba
Ni ju yako Bwana mi naishi
Pokea sifa zote na utukufu
Heshima na uweza ni zako Bwana
Haulinganishwi na chochote
Fadhili zako za milele
Ni ju yako Bwana mi naishi
End
Writer(s): Frank
Lyrics powered by www.musixmatch.com
Was als nächstes?

Dein Karma steigt mit jedem Klick! Teile den Guru-Link und bring Lyrics in die Welt.

Frank - Ni Juu Yako
Quelle: Youtube
0:00
0:00